NATA
JF-Expert Member
- May 10, 2007
- 4,493
- 1,311
Hii stori alinisimulia afki yangu na wala siyo mimi yaliyonikuta......................LOL
Kwa kweli mkuu unavisa sana na vinaniacha hoi.
So unakatoto chotara?
Hongera kitanda hakizai haramu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii stori alinisimulia afki yangu na wala siyo mimi yaliyonikuta......................LOL
Nilikakana pale pale Tekmeke Hospitali, mie nilee mimba ambayo siyo yangu, na mtoto pia!?Kwa kweli mkuu unavisa sana na vinaniacha hoi.
So unakatoto chotara?
Hongera kitanda hakizai haramu
Kweli yalikukuta, kulea mimba ya muarabu?
Mke mtarajiwa sijui alipata mwanaume mwingine wa kumuoa? hebu mtambuzi fuatilia hili
Hata house girl alipojifungua, mchumba wa Kinyamwezi alishaolewa kitamboo.................................!
Siku hizi tukionana tunabaki kutaniana tu lakini utukufu sioni ndani, kwani ashakuwa mke wa mtu
Nilikakana pale pale Tekmeke Hospitali, mie nilee mimba ambayo siyo yangu, na mtoto pia!?
Hata mizimu ya mababu zangu itaamka huko kaburini..............LOL
Hahahaaa story tamu.. Mtambuzi uliutumia vizuri sana ujana wako saivi mamangina asiwe na wsws duh!
a.k.a dogo akaja mikono mitupu!This is our dady Gustavo a.k.a Bruc lee,kaka wa hiari wa dada glady aliemchungulia utukufu wake,baba cantalisia .....!
Stori nzuri sana mkuu, mwambie rafiki yako atunge kitabu, his trial marriage seems to be a blessing in disguise.Hii stori alinisimulia afki yangu na wala siyo mimi yaliyonikuta......................LOL
Madhara ya chovya chovya... POLE sana.....
Noma sana mkuu si ulikuwa ushakula vya watu ukitegemea ATM yako inasoma! aaaah aaaah! aaaah!Kumbe unakumbuka eh! Ile ya dogo ilikuwa ni noumer mkuu!
Acha kuharibu maudhui bana, hiyo siyo stori ya kutunga ni kisa cha kweli kilimpata baba Ngina.................LOLDuuuuuuuuuuu! ni stori lakini hii maneno inatokea sana! wengi tunalea visivyo vyetu. Acha tusiseme mengi usije ukazuka mjadala wa kijinsia halafu wenye mihasira wakaharibu maudhui ya uzi huu mwanana!
Yule House Girl alikuwa ni Chui ndani ya ngozi ya Kondoo. Kwa kifupi alikuwa ni mzoefu maana amekulia Mbagala, pale alikuwa ana-pretend ili anichote na she was almost succeeed.Ila sasa kwa yaliyokukuta afadhali hata ungekuwa uliiba na mara ya pili! Alafu uyo beki tatu mwanzo alikuwa haongei badae mbona amekuwa mtaalamu mpaka wa kizota nk! Ila utakuwa mtunzi mzuri sana mtambuzi ingia hata kutengeneza movie zinalipa kweli bongo naona kwa sasa, mana nina wasiwasi ukiwauzia story malipo kidogo sana! Cause hata the way unavosimulia si wote wenye uwezo wa kusimulia kitu kikaeleweka kama ufanyavo! Short but clear. .