House for sale

Kitomai

JF-Expert Member
May 21, 2009
1,060
281

Located at Kimara Temboni about a kilometer from Morogoro Road. 4 bedrooms ( one ensuite), sitting room, dinning room, kitchen, store, plot size 2125 sqm, fenced, It has a clean tittle deed. Price Tshs 175mil
 

Attachments

  • DSC08147.JPG
    DSC08147.JPG
    9.5 KB · Views: 103
  • DSC08150.JPG
    DSC08150.JPG
    37.2 KB · Views: 106
  • DSC08151.JPG
    DSC08151.JPG
    34.7 KB · Views: 87
  • DSC08159.JPG
    DSC08159.JPG
    41.4 KB · Views: 107
  • DSC08161.JPG
    DSC08161.JPG
    23 KB · Views: 111
  • DSC08162.JPG
    DSC08162.JPG
    30.2 KB · Views: 102
  • DSC08170.JPG
    DSC08170.JPG
    29.8 KB · Views: 96
  • DSC08173.JPG
    DSC08173.JPG
    43.5 KB · Views: 94
  • DSC08175.JPG
    DSC08175.JPG
    27.6 KB · Views: 88
  • DSC08177.JPG
    DSC08177.JPG
    34.8 KB · Views: 94
  • DSC08179.JPG
    DSC08179.JPG
    30.6 KB · Views: 88
  • DSC08182.JPG
    DSC08182.JPG
    12.4 KB · Views: 80
  • DSC08183.JPG
    DSC08183.JPG
    25.8 KB · Views: 75
ee kumbe nyumba za huko nazo zishafika bei hizo!! Basi itabidi tuhamie Kigamboni
 


Located at Kimara Temboni about a kilometer from Morogoro Road. 4 bedrooms ( one ensuite), sitting room, dinning room, kitchen, store, plot size 2125 sqm, fenced, It has a clean tittle deed. Price Tshs 175mil

hiyo bei kwa kimara kazi kweli kweli tutarudi msamvu
 
wao sasa na Masaki itakuwaje? kiwanja kamara 2000sq meter 25 milion, kujenga 50 milion! total 75 miliion haya ni mahesabu tu ya haraka haraka. jamaa yangu kajenga nyumba kwa garama hiyo! wabeba mabox mupo? huku watu hatuna hela bwana!
 
wao sasa na Masaki itakuwaje? kiwanja kamara 2000sq meter 25 milion, kujenga 50 milion! total 75 miliion haya ni mahesabu tu ya haraka haraka. jamaa yangu kajenga nyumba kwa garama hiyo! wabeba mabox mupo? huku watu hatuna hela bwana!

Dada Lily huyo jamaa yako alijenga exactly the same house kwa 50m? Kama nyumba ziko tofauti muache Kitomai auze kutokana na gharama alizoingia
 
nimeipenda sana hii nyumba, na nilikuwa natafuta nyumba, je hiyo bei haipungui? na pia hizo samani za ndani zitatolewa au zinabaki kuwa mali ya mnunuzi?
plz nipe jibu.
 
Mkuu Kitomai, Hii nyumba nakumbuka kama uliishatoa tangazo lake kama mwaka mmoja ama miwili iliyopita. Ni nyumba nzuri. je haijapata mnunuaji toka wakati ule? Je ilinunuliwa na huyo mnunuaji naye sasa anaiuza tena? Ama kama haikununuliwa toka wakati ule wakati ni nyumba nzuri sana kimuonekano nini tatizo? labda bei ni kubwa na ujaribu kuongea na muuzaji apunguze bei? labda ipo karibu mno na eneo la kujidai la Mheshimiwa Magufuli??
 
Dada Lily huyo jamaa yako alijenga exactly the same house kwa 50m? Kama nyumba ziko tofauti muache Kitomai auze kutokana na gharama alizoingia
hakujenga exacly the same house but he built nicer than this ha ha a
 
Mbona picha kuanzia ya 11 hadi mwisho zinafanana na Apartment hii? Au ndio mambo ya mbuzi kwenye gunia nini? Just an observation. Maana nina kampango ka kutafuta kaeneo nyumbani ndio nimekutana na hayo.
 
duh kumbe hii nyumba bado haijaenda/haijanunuliwa? si bei ipunguwze tu
 
Mbona picha kuanzia ya 11 hadi mwisho zinafanana na Apartment hii? Au ndio mambo ya mbuzi kwenye gunia nini? Just an observation. Maana nina kampango ka kutafuta kaeneo nyumbani ndio nimekutana na hayo.

Jamaa naona katika kazi yake ya udalali kaamua kuchanganya dozi.
 
ni nyumba nzuri na bei sio mbaya kihivyo kwa gharama za ujenzi wa nyumba za sasa, ukichukulia kuwa tayari unaikuta ishajengwa na huna presha za kusumbuana na mafundi. ukitaka kusave, ruksa kujenga toka msingi mpaka finishing. ukihesabu na muda wako utakuta bei zenu hazitofautiani kihivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom