Haya ndiyo serikali yetu ingekuwa makini ingekuwa inayapiga vita na kuhakikisha kwamba hayatokei. Kwa nini kodi inatakiwa kulipwa kwa dola? Kwa nini kodi inatakiwa kulipwa kwa zaidi ya mwezi mmoja in advance? Nafikiri huu ni wakati sahihi wa serikali kuingilia kati na kuja na sheria ya kuzuia wenye kudai kodi kwa USD na pili kutaka kodi zaidi ya mwezi mmoja. Mimi nafanya kazi na mshahara nalipwa mwisho mwa mwezi, sasa unaponiambia nilipe kodi mwaka mzima hizo pesa nimezipata wapi? Kwa mtindo huu tunakaribisha rushwa, wizi na ufisadi!!!!
Tiba
Only for fisadis na makampuni. Kwa maana hata profesa anayeishi kwa mshahara hawezi kuimudu.
Hapo naona unataka kumletea mwenye nyumba shida zako na maelezo marefuuuuuu', Nyumba inapangishwa wewe waanza kutoa maelezo ya kuwa fedha utaitoa wapi?
Nani anataka kujua????? Nyumba inapangishwa kama waweza kupanga na umaipenda panga sio waleta siasa....:angry::angry::angry::angry:
Mtu chake, alivyokipata na kuhangaika hukumsaidia hata chembe, so ... mwache ale matunda yake bana acha roho zako za vikwazo....!!!
Kwa taarifa yako huyu mtu analipa kodi TRA kila mwezi katika kodi aipatayo kwenye rent
Well kuhusu wizi na ufisadi uko toka enzi ya musa.... wewe umejua sasa kijana??? jua yako acha maisha ya watu:angry::angry::angry::angry:
Ni mtazamo tuuu