Sugar wa Ukweli
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 373
- 37
Kabla sijachangia chochote kuna true story kuna hausi geli tulikuwa nae alimegwa na nyumba nzima kasoro sisi 2 nyumba ilikuwa na vijana wa kiume 8 yaani ilikuwa kimya kimya baadae baba mwenye hausi nae akaanza kumega ndo tukaja kugundua hausi geli kawapa uroda vijana wenzetu 6 alafu na baba wa hausi akaja na mlinzi nae duh.
Jirani sasa ikatokea mmoja wao ana Ngoma si ameteketeza familia yote?,kwani in long run mama mwenye nyumba naye ataingia kwenye chain hiyo,it is sad story indeed!!!