HA HA HA!Afadhali umerudi nyumbani nilikuona kwa kina Zitto Kabwe pale mnabadilishana mawazo. Mimi ndio sijui nichukue yupi -kwa vitendo vyao vibaya.
Afadhali umerudi nyumbani nilikuona kwa kina Zitto Kabwe pale mnabadilishana mawazo. Mimi ndio sijui nichukue yupi -kwa vitendo vyao vibaya.
mpwaaaz bana!Alikuwa anafanya nini kule? Ngoja nim-PM naona mpwa anataka ban! To me afadhali hausigeli kwa kuwa ntakuwa najisevia na watoto watakuwa wanapata eksipiriensi! Houseboy kunimegea waifu na watoto wa kiume na wa kike? Unamaanisha tigo siyo? Haivumiliki! Hivi silaha zinauzwa wapi vile?
mpwaaaz bana!
mimi simuhitaji beki tatu wala hausi-boi
Alikuwa anafanya nini kule? Ngoja nim-PM naona mpwa anataka ban! To me afadhali hausigeli kwa kuwa ntakuwa najisevia na watoto watakuwa wanapata eksipiriensi! Houseboy kunimegea waifu na watoto wa kiume na wa kike? Unamaanisha tigo siyo? Haivumiliki! Hivi silaha zinauzwa wapi vile?
Afadhali umerudi nyumbani nilikuona kwa kina Zitto Kabwe pale mnabadilishana mawazo. Mimi ndio sijui nichukue yupi -kwa vitendo vyao vibaya.
Hausigel anamsaidia waifu hasa kipindi kile anachokuwa kwenye unajimu! Hausiboi ni STRICTLY PROHIBITED kwa nyumba ya ze Pillarz!
mmmmh, hii topik inanishinda kabisa, no comment so far.
Umenichekesha hapa, ni kweli nimesikia visa vingi vya house boy kuvizia mzee ukisafiri mwezi 3 au 4 anageuka baba wa nyumba anaanza na mama mpaka watoto wa jinsia zote 2(she/he). Bora nichukue house gal then mimi nijiheshimu. kama atatembea na watoto wangu wa kiume bora kuliko house boy(Mungu apishe mbali)
mmmmh, hii topik inanishinda kabisa, no comment so far.