Hayo maneno tu hayana utendaji wala hayana maana sana wla hayajatuletea jema lolote Tanganyika zaidi ya kututumbukiza kwenye lindi la umaskini.
Nyerere alikuwa ni mpiga porojo mzuri lakini utendaji na uongozi wa kuiendeleza nchi ulikuwa patupu. Ndio maana mpaka leo tunalalamika kuwa eti ni maskini, ukweli ni kwamba Mungu katupa kila utajiri Tanzania lakini katunyima akili, moja wapo ni hili la kushabikia mtu aliyetuweka kizani mpaka leo. Huu ni umaskini wa akili.
Nawaonea huruma sana, mnaomshabikia Nyerere, kwa lipi zaidi? lakini hakuna cha kuwaeleza kwani hamtouona ukweli kwa kuwa akili zenu zimefikia kikomo cha kuona, hizo ndio Fikra Pevu.
Kuna siku ulisema kitu watu wakakushambulia sana kwenye jukwaa la elimu, uliwajibu vizuri, nikashangaa, sikutegemea hekima ile kutoka kwako, unajua ukiona mtu alivovaa tu unaweza kukadiria ni busara kiasi gani yuko nayo kwenye kichwa.
Post hii sasa ndio inaendana kabisa na wewe, Perfect Match!
Kama mtu haamini aangalie picha ya FaizaFoxy katika avatar yake utaona inafanana kabisa ni kiwango cha busara alicho nacho