Mchaga
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,378
- 204
Hivi ni sahihi kusema marehemu mwalimu nyerere au hayati mwalimu nyerere.
Katika hotuba yake ya mbio za mwenge mwanza leo, dr shein anamtaja baba wa taifa kama marehemu mwalimu nyerere, mimi nadhani ni sahihi angemtambulisha kwa utangulizi wa hayati.
Ni vyema waandishi wa hotuba za viongozi wakawa makini katika kuandika hizi hotuba.
Baba wa taifa na mwasisi wa mbio za mwenge hawezi kutajwa kama marehemu hili ni kosa kubwa sana, hata kama ni marehemu lazima apewe heshima yake ya pekee na atajwe kama hayati baba wa tiafa...
au ndio zile dalili za kumchoka na kuchoka mambo aliyoyaasisi.
Katika hotuba yake ya mbio za mwenge mwanza leo, dr shein anamtaja baba wa taifa kama marehemu mwalimu nyerere, mimi nadhani ni sahihi angemtambulisha kwa utangulizi wa hayati.
Ni vyema waandishi wa hotuba za viongozi wakawa makini katika kuandika hizi hotuba.
Baba wa taifa na mwasisi wa mbio za mwenge hawezi kutajwa kama marehemu hili ni kosa kubwa sana, hata kama ni marehemu lazima apewe heshima yake ya pekee na atajwe kama hayati baba wa tiafa...
au ndio zile dalili za kumchoka na kuchoka mambo aliyoyaasisi.