Hotuba za Rais kila mwezi

Je unaridhika na hotuba za Rais Kikwete?

  • Ndio

    Votes: 13 15.5%
  • Hapana

    Votes: 71 84.5%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%
  • Sina jinsi

    Votes: 1 1.2%

  • Total voters
    84
  • Poll closed .
Nimesoma speech ya mheshimiwa lakini sijaona strategy yakinifu za kuiondoa nchi katika janga la Ufisadi. we have resources, tuna watu(skilled and competent) lakini nothing can be done kama hakuna strategies madhubuti za kuikwamua nchi. Hotuba imekuwa too much narrative za matukio na majifu na Marekani!! be careful usiuze nji. Mbona kilio cha wananchi cha kukosa huduma na kuendelea kuwa maskini sikuona la maana hapo. JE Ahadi lukuki alitoa amatimiza % ngapi? ilitakiwa atupe performance yake as a perident na serikali. sio hotuba ya maneno katika gunia bila data. Hotuba ya maneno matamu tu kama ya abunuasi tumezichoka tunataka hotuba zinazotekelezeka . Je alifeli wapi and what was the reason given nothing. mbona umaarufu wake unapungua amejeuliza ni kwa nini? na je ana mpango gani wa kurejesha imani kwa wanachi? no! cos he sure of himself as jktanzania kingdom and company till 2015. How comes speech inakuwa kama ngonjera na mashairi? Not impressed at all.
 
haya mambo ya kukariri ni mabaya sana hasa tunapofanya vitu kwa mazoea.huwenda hii hotuba ilishasomwa na raisi aliyemtangulia
 
hii hotuba nadhani ilirekodiwa kabla ya uchaguzi wa Kenya maana inamuonesha Rais akiwa Ikulu wakati jamaa bado yuko mapumzikoni.
 
Kama kawaida, nadhani sasa itabidi tuzoee hizi 'speech' zisizo na 'inspiration.'

Hawa waandishi wake wa speech itabidi awabadilishe. Hotuba hii ya kumaliza mwaka ilitakiwa iwe 'concise and to the point.' Achana na stori ndeeefu za sayari ambayo sasa hivi hayamwongezei ugali mwananchi wa kawaida kule kijijini. Kuna faida gani kuzungumzia mabo ya "Uharifu" in 'abstract' na kwa kirefu namna ile.
 
Yaani kazungumza bila kugusia kabisa ripoti ya BOT, kamati aliyoiunda ya madini, Gavana wa BOT kama kajiuzulu au la, Sakata la mahujaji ambao hadi hii leo kama sikosei hawajarudi nchini! ama kweli usanii huu ni wa hali ya juu.
 
Hajagusia kabisa matatizo ya Kenya au macho yangu yameenda haraka?

atagusia vipi wakati anajua fika kwamba CCM yenyewe imeshashiriki kuiba kura? Angependa kumpa pongezi fisadi Kibaki lakini anajua sasa hivi hayuko popular miongoni mwa Watanzania wengi, hivyo aliona bora asiseme lolote! Duh!
 
Nimesoma speech ya mheshimiwa lakini sijaona strategy yakinifu za kuiondoa nchi katika janga la Ufisadi. we have resources, tuna watu(skilled and competent) lakini nothing can be done kama hakuna strategies madhubuti za kuikwamua nchi. Hotuba imekuwa too much narrative za matukio na majifu na Marekani!! be careful usiuze nji. Mbona kilio cha wananchi cha kukosa huduma na kuendelea kuwa maskini sikuona la maana hapo. JE Ahadi lukuki alitoa amatimiza % ngapi? ilitakiwa atupe performance yake as a perident na serikali. sio hotuba ya maneno katika gunia bila data. Hotuba ya maneno matamu tu kama ya abunuasi tumezichoka tunataka hotuba zinazotekelezeka . Je alifeli wapi and what was the reason given nothing. mbona umaarufu wake unapungua amejeuliza ni kwa nini? na je ana mpango gani wa kurejesha imani kwa wanachi? no! cos he sure of himself as jktanzania kingdom and company till 2015. How comes speech inakuwa kama ngonjera na mashairi? Not impressed at all.

Nadhaani
nimefuatilia hotuba nyingi za wakuu wetu wa nchi tangu Ali/Ben na sasa Jakaya, content zimekuwa hizo hizo especial "chakula na mvua za masika/vuli." by the way ni kheri ya mwaka mpya.
 
Yaani kazungumza bila kugusia kabisa ripoti ya BOT, kamati aliyoiunda ya madini, Gavana wa BOT kama kajiuzulu au la, Sakata la mahujaji ambao hadi hii leo kama sikosei hawajarudi nchini! ama kweli usanii huu ni wa hali ya juu.

Mahujaji wametangaza kundi la kwanza linakuja leo saa kumi usiku
 
Usanii mule mule
BOT
Buzwagi
Ufisadi
Sijui na majitu mengine yataendelea
 
Mahujaji wametangaza kundi la kwanza linakuja leo saa kumi usiku

isiwe tangazo hili ni la usanii tu, si unakumbuka walivyokuwa wanaondoka yaliyotolewa matangazo mengi kuhusu kuondoka kwao na siku zikawa zinayoyoma tu wakati wamegandishwa pale airport.
 
haya mambo ya kukariri ni mabaya sana hasa tunapofanya vitu kwa mazoea.huwenda hii hotuba ilishasomwa na raisi aliyemtangulia

Mkuu hapo niemcheka kwa sauti japo nipo mwenyewe hapa!

Nikirudi kwenye mada hivi amezungumziaje ufisadi au ndo ameassume haupo

Zuri ni kuwa maambukizi ya UKIMWI sasa ni 4.9% kama ni kweli basi ni jambo zuri
 
Back
Top Bottom