Hajasema mshahara hauwatoshi, issue hapa ni kuwa wanadai kwa muda mrefu na hawajalipwa na kumbuka wanaelekea mwaka mwingine wa fedha maana yake upo uwezekano wakutopew ama kulipwaWasomi mliobobea hamna uwezo wa kutumia elimu yenu kujiongezea mapato zaidi ya kutegemea nyongeza kwenye salary slip?