Buricheka
Member
- Aug 18, 2009
- 66
- 2
wakimteua kijana kama masha akiboronga wao ndio wanamtolea mfano na kusema angalia "amesoma marekani yule na ni kijana". haya maneno nimeyasikia kwa mtu mmoja ambaye yuko juu sana kwenye system ya TZ akiwa anawakandamiza vijana masha + ngeleja ndio mifano yao
Huyo Masha amesomea kitu gani Marekani?