Jitihada sasa ni kuuhadaa Umma kuwa hoja imeporwa katika kamati za Bunge ambapo hilo lilijadiliwa na wanamagamba, walikuwa wapi kutoa tamko na kama ni kweli mbona kigugumizi kilikuwa kingi.
Hii bajeti ni ya kizalendo na ndio yenye nia ya kumkomboa mwananchi. Hongera sana Mh Zitto, kwa kuongezea tungeliomba uwaambie wafanye uchunguzi zaidi uhusiano wa stimulus package na hela za mikopo serikali inakopa. Pia tunaomba wawajulisha wananchi hizo hela zimetumikaje ili kufahamu je madeni hayo na stimulus package yametumika katika shughuli za maendeleo au kusaidia kuendesha serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.