Serayamajimbo
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 191
- 38
Well nilikuwa sijamaliza bado, kuna suala jengine ambalo watanganyika wengi wamekuwa wakijiuliza ni kwanini mzanzibari hapendelei kupoteza utaifa wake na kujivunia utanzania.
Nafikiria Maalim Seif amejaribu sana kujibu suala hili, kwa kuonesha records muhimu ambazo Zanzibar iliweza kuziweka katika dunia kiasi ambacho unaweza kumwambia mtu mimi ni mzanzibari na akafahamu kama unatoka kwenye nchi iliyopata ustaarabu kwa miaka mingi sana.
Tanzania ambayo ni 90% Tanganyika, haina record yoyote ambayo mimi kama mzanzibari naweza kukaa mbele ya dunia na kujivunia.Labda ufisadi na umasikini au ufukara!Ni vipi nitaweza kujivunia utaifa huu, wakati taifa langu la Zanzibar lina pretty good records za kuheshimika kabisa.
Shukurani za dhati kwa Maalim Seif kwa kuweka mbele records hizo za Zanzibar, ambazo tunatarajia zitaweza kurudishwa.
Natanguliza samahani kwa wale nitakao rusha sparks humo
Ni kweli kuwa Zanzibar ina historia lakini si kweli kwamba Tanganyika haina historia. Huwezi kuwa na cradle of mankind halafu ukawa huna historia. Wakina Zinjatrophous wana historia kweli kweli. Unajua historia ya Tanganyika toka enzi za ugunduzi wa chuma? Ngoja waje hapa wanahistoria wanaozijua dola za kale watakuhadithia
serayamajimbo