mapungufu niliyoyaona katika hoyuba hii
1.Ameongelea kupanda kwa bei ya sukari tu bila kutaja bidhaa nyingine kama vinywaji na vifaa vya ujenzi nk
2.Ameongelea kuhusu mabomu ya g/mboto na kupooza waathirika bila kugusia aina yoyote ya uwajibikaji,achilia mbali habari ya baraza la usalamala taifa na uchunguzi unaoendelea ambao tunajua ni funika kombe....
3.Tafsiri potofu(MAKUSUDI) kuwa maandamano/mikutano ya CDM yana lengo la kuchochea ghasia na fujo
4.Na yeye amekuwa mlalamikaji tu kama raia wa kawaida wasio na mamlaka yoyote
Mimi nasema uwezo wake ndio umeishia hapo
1.Ameongelea kupanda kwa bei ya sukari tu bila kutaja bidhaa nyingine kama vinywaji na vifaa vya ujenzi nk
2.Ameongelea kuhusu mabomu ya g/mboto na kupooza waathirika bila kugusia aina yoyote ya uwajibikaji,achilia mbali habari ya baraza la usalamala taifa na uchunguzi unaoendelea ambao tunajua ni funika kombe....
3.Tafsiri potofu(MAKUSUDI) kuwa maandamano/mikutano ya CDM yana lengo la kuchochea ghasia na fujo
4.Na yeye amekuwa mlalamikaji tu kama raia wa kawaida wasio na mamlaka yoyote
Mimi nasema uwezo wake ndio umeishia hapo