Hotuba ya Rais, TISS na JF

Mtajuaje, labda alipanga mabomu yalipuke tarehe 17 lakini yakalipuka 16, na waandaaji wa hotuba wakasahau kubadili?!
 
Sasa hii nchi vipi waziri mkuu anasema uongo mara 10 bungeni raisi wake anadanganya taifa kupitia televisheni na redio kweli hawa wanafaa kutoongoza?
 
Debe limeshika kutu..leakage kila mahali!!
Ndo maana camarade Mbowe alimjibu hotuba yake mapema jana mchana kule Shy hata kabla haijarushwa hewani
 
Kweli kabisa dada, JK hapendi kabisa kuzomewa anapenda kusifiwa tu ndo maana kila siku anaomba apewe sifa na wapinzani kwa kila zuri analofanya! Si kazi ya wapinzani kumsifia maana ameajiri watu wengi sana wa kumsifia kila siku isipokuwa hawatimizi wajibu wao sawasawa, anataka kazi hiyo ifanywe na wapinzani! nawahamasisha tuanze zomea zomea ataondoka haraka kuliko hata Ben Ali maana anatuchelewesha kuendelea
 
nimeona dalili kuwa kumbe kumuiondoa jamaa kwa nguvu ya umaa ni rahisi kuliko kumsukuma mlevi kwenye lami iliyomwagiwa mlenda...

he , his administration and his gvt are very weak and ready to give up!
 
Colleagues,

Imetokea kuwa ni kawaida kwa Rais kutoa hotuba isiyokidhi na kujibu maswali mengi ya Wa-Tanzania waliotari kwa mageuzi. Hivi Rais hana washauri wa karibu wanaoweza kurekebisha hotuba zake na zikawa na uelekeo angalau wa kijibu baadhi maswali? Tatizo la umeme analijua na maswali mengi yamekuwa nani mmiliki wa DOWANS. Yeye alisema awajui wamiliki wake lakini baadae mmiliki amejitokeza. Kaishadanganya wana CCM wenzake na bado hawezi kutumia nafasi hiyo ya hotuba yake kujibu nini lilio sahihi juu ya DOWANS. Anajua vizuri kuwa si SUKARI tu imepanda bei bali bidhaa zote madukani ziko juu na wa-Tanzania hawawezi kumdu gharama hizo. Habari ya kuhusu usalama na amani na kuhusishwa kwake na chadema ni kichekesho kwa ktk hotuba hiyo. Hamesahau kuwa adui wa amani ya Tanzania nil wale wote wasiowatendea haki na zaidi wanaojilimbikizia mali ya wizi na kutumia madaraka yoa vibaya.

Wito wangu ni kwa wabunge wa chama tawala kuliona hili kuwa Rais aliyeko madarakani ameshindwa kuwatendea haki wa-Tanzania kwa kutotumia madaraka yake vizuri na kuwawajibisha viongozi waliochini yake. lakini pia kuna waliohamua kufumbia macho huozo huo kwa faida zao binafsi. Hawa wajue kuwa Tanzania ni yetu sote. Hatutavumilia kuona wachache wanatunga sheria zinazofaidisha wao na vizazi vyao huku wakijilimbikia mali kwa wizi unaoonekana wazi wazi! Hivi hiweje kuwepo sheria za gharama ya uchaguzi na bado sheria hiyo haikufutwa? Tendwa uwambie watanzania nini unchokifanya juu hili; pili, nini kinchoendelea kuhusu viongozi kuadikisha mali zao... yapo mengi yakusema basi tu ni siwachoshe wasomaji...
 
angekumbuka tu ile siku ya game ya Arsenal na Bercalona nadhani asingekosea,ye si anajifanya mpenda spot sana...!!
 
Inawezekana baadhi ya wana UWT wanamchomekea kujua umakini wake, yeye ni mbele kwa mbele
 
Rais anajaribu kutisha watu kwa kutumia nahau...
SHIMO LA PANYA HALIZIBWI KWA MKATE!!
 
Noma kweli, fanya hivi: weka akili yako halafu jumlisha na ya mbayuwayu utapata jibu, nasikia jk anapenda sana Twanga pepeta, hv ni kweli?
 
HE HE HEEEEEEEEE!! Mwacheni waendelee kumchakachua na yeye. Si alijidai kuchakachua mwaka huu mpaka akome akomae!! Watu wote wamemsusia nchi sijui ataiendeshaje mchovu huyu!!
 
Back
Top Bottom