Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Kwa wale ambao hawakupata nafasi ya kumsikiliza Rais jana waangalie marudio ya hotuba yake inaendelea sasa hivi Tv Tumaini. Baada ya kuangalia na kumsikiliza kwa watakao muelewa walete hoja na ambao hawatamuelewa ni bora wanyamaze japo haki ya kuchangia humu ni ya kila mtu.