Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Huna cha kusema? soma hapa kuhusu jitihada za umeme wa uhakika, ambapo hakuna Rais yoyote tangu tupate Uhuru anaejitahidi kwa dhati kutatua tatizo la umeme zaidi ya Kikwete: Home
JK katatua tatizo zaidi kivipi wakati mgao umeshamiri kuliko kipindi chochote kile?
Mahaba uliyonayo juu ya JK yamekupofua.