Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
- Uongo haukusaidii kitu wala kupindisha maneno hakukufanyi uwe huru. saba yamekubaliwa moja limekataliwa yaliobaki nusu nusu.
- Hakuna kinyongo hapo, kasema wazi wazi, mishahara wanayotaka hakuna, kilichoongezwa ndio hivyo kimeongezwa, ukitaka fanya hutaki acha, uamuzi ni wako si wa Kikwete. Mshahara wa kuanzia million 3.5 hakuna.
- Swala la Ulimboka haliachi mpaka ukweli ujulikane. Unaogopa nini?
- Hotuba imepitia mambo yote 12 ya madai ya madaktari.
wapi umeona amefafanu swala la uboreshwaji wa huduma za afya kama alivyozingumzia stahili za madaktari?
swala la ulimboka akae kimya kabisa na hotuba yake inaonyesha jinsi alivyoshiriki kumdhuru ....hata umtetee vip ihotuba yake ni ya hovyo sana