Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
cha msingi ni ujumbe.kwanini hakuhutubia tuone sura yake wakati ananena haya?
cha msingi ni ujumbe.kwanini hakuhutubia tuone sura yake wakati ananena haya?
Dhaifu keshadanganya mara ngapi, endelea kumwamini dhaifu wako, kwa wewe yoyote anaeongea kinyume cha dhaifu hana hoja. Lakini dhaifu ni mwongo, muuaji na zake zinahesabika, endelea kumtetea utaenda nae. Nenda hospitali sasa hivi utaona kama nina hoja ama sina. Limbwata la ulafi litawafikisha kubayaHuna hoja.
Waliyokubaliana kayasema na ambayo serikali imekataa na hayo kayasema waziwazi na ambayo hawajakubaliana kayasema waziwazi na kasema asiyeyataka hayo ambayo serikali imeyakataa aache mwenyewe kazi. Nini zaidi usichokielewa?
Kama huna hoja kaa kimya kama wenzako.
Juma mgaza ndo nani. kwa hii hali hotuba ni laini sana.
Labda wale wenye Honoris causa ndio watarudi kazini.Kikwete ahsante sana.
Sasa ondokeni mkafanye kazi zenu za private au mrudi kazini, uamuzi ni wenu, na huko mahospitali tutaanza kuwawekea tathmini ya kujuwa ni nani anaefanya kazi na anastahili kulipwa na nani asiyefanya. Mnalo?
1. kwamujibu wa hotuba hi hakuna makubaliano yaliyofikiwa yote ni nusu nusu
2. kikwete an kinyongo na anategemea kuwafukuza kazi madaktari
3. swala la ulimboka aliache na huo mkono wa pole huko huko abaki nao
4. hotuba imekazania swala la mishahara na swala la kuboresha huduma za afya hajalifafanua vilivyo..nachelea kusem nae ni miongoni mwa wasiojua madai y madaktari..anajua nusu nusu tu
Laiti kama angeisoma live ingenoga sana, lakini nasikia mkuu anaumwa na ndiyo maana ameshindwa kuisoma hotuba jana.
Wameshatafutwa toka Iranimetulia.....imeeleza bayana madai na uwezo wa serikali...! asieweza kufanya kazi aondoke ili serikali itafute replacement
Nchi nyingine zina maraisi, sisi tuna msanii mmoja kutoka pwani mpenda taarabu.
Ukiiangalia kauli yake kwa undani utagundua kuwa ni kauli ya kibaguzi. Confirmed JK ni mbaguzi kwa kwenda mbele, naona silaha yake ya ubaguzi wa kidini na kumtumia Sheikh Ponda haifanikiwi sasa analeta ubaguzi wa huyu mtumishi wa serikali na yule sio ili wabaguane, bahati nzuri madaktari wanaunganishwa na taaluma tofauti na mawazo yake kudhani wanaunganishwa na ajira au fedha au itikadi za kisiasa. Natamani US wamlime barua nyingineangekataa asiingie kwene majadiliano bado mngelaumu
Lakini ndiye "mbora" kati yetu, ndo mana tumimchagua. Mtihani ulikuwa mkali kati yake na yule muasi wa kanisa katoliki.Huyu baba kanyimwa busara kweli kweli..khaaa
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
nina hasira
Ndio maana nimeuliza kuwa alihutubia saa ngapi maana hata mimi skulala mapema nilikuwa nasubiri nisikie atakachozungumza.