Anahitaji darsa la kuelimishwa Katiba(kum-radhi)Zanzibar si nchi piga ua PM .
Anahitaji darsa la kuelimishwa Katiba(kum-radhi)Zanzibar si nchi piga ua PM .
Mnabebwa sana na serikali ya JMT na bahati mbaya mnajisahau na kuona sasa ni haki yenu!
Amandla.....
.Lini nchi ya Zanzibar imekufa?Nyie acheni mchezo wenu wa kitoto huo, Zanzibar ni moja ya nchi kongwe barani Afrika.Zanzibar ni nchi ipo tokea hata hicho kijinchi chenu cha Tanganyika, musianze dharau zenu.
Nchi ya Zanzibar ipo, na bendera yake itaendelea kupepea milelele.Nchi iliyofutwa na kupotea ni Tanganyika tuu, lakini Zanzibar bado ipo.
Mr.Froasty,
..tunachotaka ni usawa ktk muungano huu. kama suala hilo haliwezekani baina ya Tanganyika na Zenj ni bora Muungano uvunjwe.
..ninachosema mimi ni kwamba Wazenj wawekewe masharti yaleyale wanayokumbana nayo Watanganyika wanapofika Zenj.
..nakumbuka majuzi hapa kuliibuka suala la vibali vya kazi Zenj. ilielekezwa kwamba Watanganyika watakuwa-treated kama raia wengine wa kigeni ktk masuala masuala ya kazi Zenj. yaani Mtanganyika anakuwa hana tofauti na Msudan,Mnigeria etc.
..kama ni mashirikiano ktk muungano, basi yasielemee kwa wa Tanganyika kama ilivyo sasa hivi.
..kwa mfano: kama mnadai Zenj ni ndogo sana, na uwezo wake ni kupokea wahamiaji 1000 tu kwa mwaka toka Tanganyika, basi Tanganyika nayo isipokee Wazenj zaidi ya 1000 kwa mwaka.
..kwasasa hivi Mzenj akiingia Tanganyika anakuwa na haki zote kana kwamba amezaliwa upande huu. lakini hilo haliwezekani kwa Watanganyika kwanini? kwanini hakuna usawa ktk muungano huu?
..pia si kweli kwamba Wazenj hawafaidiki na madini na rasilimali nyingine zinazopatikana huku Tanganyika. Wazenj wana uwezo wa kumiliki ardhi huku Tanganyika. kuna maeneo ktk miji ya Tanganyika ambako Wazenj wana majumba makubwa makubwa, mashamba makubwa, biashara, na hakuna anayewasumbua.
..pia Wazenj wanayo haki ya kumiliki machimbo ya madini[dhahabu,tanzanite,ruby,... yoyote yale yanayopatikana Tanganyika. sasa hii habari kwamba waZenj hawafaidiki na "dhahabu" za Tanganyika yanatoka wapi?
NB:
..kuhusu suala la bajeti ni kweli huwezi kusikia suala la barabara za Zenj ktk bunge la muungano. hii ni kwasababu suala la barabara siyo la muungano. lakini inaposomwa bajeti ya wizara kama ulinzi, au ile ya mambo ya ndani, basi Zenj iko-included humo. hapa ni suala la kuelewa tu wizara zipi zinashughulika na masuala ya muungano.
..nilitegemea ungekwenda mbali zaidi na kuuliza kwanini wabunge toka Zenj huhudhuria na hupokea posho za vikao vya bunge vinavyozungumzia masuala yasiyo ya muungano?
hata Mwalimu Nyerere kuna wakati alisema angekuwa na uwezo angekisukuma kisiwa hiki kiende mbali baharini maana kimemchosha kila siku kuomba kitu kipya na yeye alichoka nasi kuna siku tutachoka kuwabeba.
.
MrFroasty, Ni kweli Zanzibar ni nchi in a sense of teritorial, yaani eneo linaloitwa Zanzibar lipo, hili halina ubishi, hivyo nchi ya Zanzibar ipo.
Ila ile iliokuwa nchi ya Zanzibar, ambayo ilipata uhuru wake Desemba 1963, uliodumu kwa mwezi mmoja tuu, na kufuatiwa na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964. Nchi hiyo ilidumu mpaka April 26, 1964 kwa ridhaa yake yenyewe, ilikubali kuungana na iliyokuwa Tanganyika, tangu siku hiyo, nchi ya Zanzibar ilikufa, ikapoteza mamlaka ya kuitwa nchi, ila ikabakia na mamlaka ya kujitawala kwa mambo yake ya ndani.
Ili nchi iitwe nchi/taifa/state inatakiwa iwe na sifa kuu nne, yoyote kati ya sifa hizo ikikosekana, hiyo si nchi. Sifa hizo za nchi ni
Hivyo ndugu zetu Wanzanzibari, Zanzibar yenu inasifa zote za kuwa ichi/taifa lakini haina dola, hivyo Zanzibar sio dola.
- Eneo/land/teritorial-Zanzibar inayo
- MipakaDefined bondaries-Zanzibar inayo
- Utawala/Government- huu utawala uwe ni halali de-jure au mabavu de-facto haijalishi-Zanzibar wanao
- Dola/State Organs, vyombo vya dola, hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama kama Jeshi, Polisi, TISS etc-Zanzibar haina.
Najua ukiwaona KMKM na JKU, mnajifariji kuwa eti nanyi mna polisi wenu hao wa KMKM na Jeshi lenu la JKU, vyombo vyote hivyo ni kama wagambo tuu, kama tunavyowavisha watoto wetu nguo za jeshi na kujiproud watoto wetu wajeshi!.
Sorry to say, vikosi vya SMZ ndani ya katiba ya JMT, ni kama mgambo tuu, ama ultimet security ama makampuni ya ulinzi.
Ili kuzua migogoro na mitafaruku isiyo ya lazima, ukiwa mwanasiasa to survive, lazima uwe mnafiki. Pinda was bold and genuine alipotamka wazi, Zanzibar sio nchi, this is a fact. Moto uliowaka, ilimbidi JK akubali kuwa mnafiki kwa kuwapa peremende mnyamaze na mmenyamaza.
Mtoto akilia sana bila sababu ya msingi, mpe peremende, atanyamaza. Ila kama akilia huku anatatizo genuine, hata umpe peremende, hanyamazi. JK alipowapa peremende pale Dodoma eti Zanzibar ni nchi ndani ya Tanzania, nje ya Tanzania nchi ni Tanzania!. Kwenye hili there is only one way, ni nchi au si nchi, hakuna ni nchi si nchi, hiyo ilikuwa peremende tuu, Zanzibar sio nchi this is a fact no matter how bitter it is. Poleni!.
Nyerere kweli alikuwa genius na kuweza kukudanganyeni.Hivi kweli Nyerere angelikuwa hana interests na Zanzibar, angelivikumbatia visiwa hivyo na kufanya muungano na kuweka sera madhubuti za kuimeza nchi hiyo?
Nakubaliana na wewe kuwa Nyerere alikuwa genious ndiyo maana hamkumwelewa wakati ule.
Kweli Nyerere alikuwa na interest na Zanzibar kwa wakati ule wa nchi zisizofungamana na upande wowote enzi za cold war USSR na Marekani sisi tulikuwa upande wa Russia zaidi,wakati huo kulikuwa na tention za nchi za magharibi kuichukua Zanzibar ndio maana aliwakumbatia sana hata hiyo kauli ya kuvisukuma visiwa alikuja kuitoa juzijuzi tu baada ya kumkinai.
Mr.Froasty said:Unapodai usawa usiwe unabagua sehemu gani kuwe na usawa.Usawa huo na uwe hata kugawana mapato ya Tanzania, yapigwe 50-50.Hata hayo mapato ya bahari nayo 50-50.
.
Zile Sherehe za Mapinduzi, sio sherehe za muungano, ni sherehe za ile nchi ilikuwa Zanzibar kabla ya muungano, kwa hiyo kihalali Tanzania is nothing, na Kikwete there is nobody, ila wamempa tuu heshima.
Vivyo hivyo Karume akija huku bara, he is nobody, ila tuu amepewa heshima ya recognition kiprotocali na ni waziri asiye na wizara maalum ili aingie cabnet ya huku, nasikia alisusaga hata kuja kwenye vikao hivi.
Kwa hili WildCard, you are damm right, how can The President of URT be second to rais wa kijisehemu cha nchi hiyo, ama nchi jina tuu iso dola?.
tukizungumzia kugombea nadhani ni dhana pana kidogo,inawezekana asigombee phyisically,lakini akawa ameshamteua mtu wa kuenforce kile anachoamini,na anachokitaka,hivyo uwepo wa Karume iwe nje au ndani katika kutekeleza muafaka wa Zanzibar na mambo mengineyo yahusuyo Zanzibar ni wa lazima,mpende msipende.
Nchi hiyo haipo! si ndio ule mjadala ulivyoishia. Au kuna mwingine uliisha tofauti?
Wapi wazanzibari wametamka kuwa mafuta yakipatikana bara yawe ya bara peke yao na sio ya Muungano?
Amandla......
Na wewe nawe unasema nini tena? Wote tunajua kuwa waziri wa SMZ hana nafasi katika bunge la JMT. Wote tunajua bajeti ya wizara za ulinzi, mambo ya nje zinapitishwa na bunge la JMT na si Baraza la mapinduzi. Hizi wizara zinasimamia masuala ya Muungano na si bara peke yake. Lini tumeambiwa na waziri wa fedha zanzibar kuwa mchango wa SMZ kwenye wizara hizi ni kiasi fulani?
Serikali ya JMT haitoi fedha moja kwa moja kwenye bajeti ya SMZ bali kwa njia mbadala. Kwa mfano kwa miaka mingi serikali ya JMT iliibeba serikali ya SMZ kwa kuruhusu watu waingize bidhaa kupitia Zanziba bila kulipia ushuru unaotakiwa. Serikali ya JMT kwa kupitia shirika lake la Tanesco imekuwa iki-subsidize bei ya umeme kwa wazanzibari. Kwa kuwaruhusu wazanzibari kutumia hospitali, shule n.k. ambazo si za Muungano, serikali ya JMT nawa-subsidize wazanzibari. Serikali ya JMT kwa kutoa mikopo kwa serikali ya SMZ inapokwama inawasaidia wazanzibari maana tunajua kuwa hata siku moja hamtakuja lipa.
Mnabebwa sana na serikali ya JMT na bahati mbaya mnajisahau na kuona sasa ni haki yenu!
Amandla.....
Zanzibar si nchi piga ua PM alishamaliza mtapiga kelele sana hata rais wa Zanzibar ndani ya muungano is a ceremonial president tu akija ndani ya muungano ni sawa kama RC. Tatizo la waZenji ni wabishi huwa hawataki kuelewa mambo waliomba wimbo wao wakapewa wakaomba bendera yao wakapewa rais wao apigiwe mizinga haya nasikia hata timu ya taifa eti wanataka kama bara itatoa wacheza 10 na wao watoe 10 hata kama hawana uwezo ajabu kweli kweli.
Ubishi wenu utawamaliza kwanza wenyewe kwa wenyewe hampendani mnajiita kuna waunguja na wapemba sasa tukiwaacha si mtamalizana hata Mwalimu Nyerere kuna wakati alisema angekuwa na uwezo angekisukuma kisiwa hiki kiende mbali baharini maana kimemchosha kila siku kuomba kitu kipya na yeye alichoka nasi kuna siku tutachoka kuwabeba.
Mr.Froasty,
..tunachotaka ni usawa ktk muungano huu. kama suala hilo haliwezekani baina ya Tanganyika na Zenj ni bora Muungano uvunjwe.
..ninachosema mimi ni kwamba Wazenj wawekewe masharti yaleyale wanayokumbana nayo Watanganyika wanapofika Zenj.
..nakumbuka majuzi hapa kuliibuka suala la vibali vya kazi Zenj. ilielekezwa kwamba Watanganyika watakuwa-treated kama raia wengine wa kigeni ktk masuala masuala ya kazi Zenj. yaani Mtanganyika anakuwa hana tofauti na Msudan,Mnigeria etc.
..kama ni mashirikiano ktk muungano, basi yasielemee kwa wa Tanganyika kama ilivyo sasa hivi.
..kwa mfano: kama mnadai Zenj ni ndogo sana, na uwezo wake ni kupokea wahamiaji 1000 tu kwa mwaka toka Tanganyika, basi Tanganyika nayo isipokee Wazenj zaidi ya 1000 kwa mwaka.
..kwasasa hivi Mzenj akiingia Tanganyika anakuwa na haki zote kana kwamba amezaliwa upande huu. lakini hilo haliwezekani kwa Watanganyika kwanini? kwanini hakuna usawa ktk muungano huu?
..pia si kweli kwamba Wazenj hawafaidiki na madini na rasilimali nyingine zinazopatikana huku Tanganyika. Wazenj wana uwezo wa kumiliki ardhi huku Tanganyika. kuna maeneo ktk miji ya Tanganyika ambako Wazenj wana majumba makubwa makubwa, mashamba makubwa, biashara, na hakuna anayewasumbua.
..pia Wazenj wanayo haki ya kumiliki machimbo ya madini[dhahabu,tanzanite,ruby,... yoyote yale yanayopatikana Tanganyika. sasa hii habari kwamba waZenj hawafaidiki na "dhahabu" za Tanganyika yanatoka wapi?
NB:
..kuhusu suala la bajeti ni kweli huwezi kusikia suala la barabara za Zenj ktk bunge la muungano. hii ni kwasababu suala la barabara siyo la muungano. lakini inaposomwa bajeti ya wizara kama ulinzi, au ile ya mambo ya ndani, basi Zenj iko-included humo. hapa ni suala la kuelewa tu wizara zipi zinashughulika na masuala ya muungano.
..nilitegemea ungekwenda mbali zaidi na kuuliza kwanini wabunge toka Zenj huhudhuria na hupokea posho za vikao vya bunge vinavyozungumzia masuala yasiyo ya muungano?
.
MrFroasty, Ni kweli Zanzibar ni nchi in a sense of teritorial, yaani eneo linaloitwa Zanzibar lipo, hili halina ubishi, hivyo nchi ya Zanzibar ipo.
Ila ile iliokuwa nchi ya Zanzibar, ambayo ilipata uhuru wake Desemba 1963, uliodumu kwa mwezi mmoja tuu, na kufuatiwa na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964. Nchi hiyo ilidumu mpaka April 26, 1964 kwa ridhaa yake yenyewe, ilikubali kuungana na iliyokuwa Tanganyika, tangu siku hiyo, nchi ya Zanzibar ilikufa, ikapoteza mamlaka ya kuitwa nchi, ila ikabakia na mamlaka ya kujitawala kwa mambo yake ya ndani.
Ili nchi iitwe nchi/taifa/state inatakiwa iwe na sifa kuu nne, yoyote kati ya sifa hizo ikikosekana, hiyo si nchi. Sifa hizo za nchi niHivyo ndugu zetu Wanzanzibari, Zanzibar yenu inasifa zote za kuwa ichi/taifa lakini haina dola, hivyo Zanzibar sio dola.
- Eneo/land/teritorial-Zanzibar inayo
- MipakaDefined bondaries-Zanzibar inayo
- Utawala/Government- huu utawala uwe ni halali de-jure au mabavu de-facto haijalishi-Zanzibar wanao
- Dola/State Organs, vyombo vya dola, hivi ni vyombo vya ulinzi na usalama kama Jeshi, Polisi, TISS etc-Zanzibar haina.
Najua ukiwaona KMKM na JKU, mnajifariji kuwa eti nanyi mna polisi wenu hao wa KMKM na Jeshi lenu la JKU, vyombo vyote hivyo ni kama wagambo tuu, kama tunavyowavisha watoto wetu nguo za jeshi na kujiproud watoto wetu wajeshi!.
Sorry to say, vikosi vya SMZ ndani ya katiba ya JMT, ni kama mgambo tuu, ama ultimet security ama makampuni ya ulinzi.
Ili kuzua migogoro na mitafaruku isiyo ya lazima, ukiwa mwanasiasa to survive, lazima uwe mnafiki. Pinda was bold and genuine alipotamka wazi, Zanzibar sio nchi, this is a fact. Moto uliowaka, ilimbidi JK akubali kuwa mnafiki kwa kuwapa peremende mnyamaze na mmenyamaza.
Mtoto akilia sana bila sababu ya msingi, mpe peremende, atanyamaza. Ila kama akilia huku anatatizo genuine, hata umpe peremende, hanyamazi. JK alipowapa peremende pale Dodoma eti Zanzibar ni nchi ndani ya Tanzania, nje ya Tanzania nchi ni Tanzania!. Kwenye hili there is only one way, ni nchi au si nchi, hakuna ni nchi si nchi, hiyo ilikuwa peremende tuu, Zanzibar sio nchi this is a fact no matter how bitter it is. Poleni!.
Mbona unajikanganya Bro au maarifa hayapo na badala yake choyo na chuki?
Ukishasema Zanzibar haipo halafu unaanza kusema nyie nyie nyie na baadae sijui hampendani wabishi mtauwana, sasa sisi ni nani na nyie ni nani ?
Utake usitake Zanzibar ipo na ndio maana unazungumzia Zanzibar kama entity huku unashindwa kutaja Mkowa fulani na kuujadili.
Nasema maarifa hayapo kwani waswahili husema Nyani haoni kund ul e.
Sisi hatupendani sawa lakini kutopendana kwetu hakuleti vita vya Tarime, kwa wamasai na dhidi ya wanaadamu wenzetu wenye ulemavu. Hongera kwa mapenzi kati yenu lakini si umeshakubali kuwa sisi na nyi ni tofauti?
Rais Karume ndio kwanza amemaza kuhutubu sherehe za Mapinduzi Zanzibar kutokea kisiwani Pemba.
Kwa maoni yangu, its the best ever tangu nimekuwa nikimsikiliza Mheshimiwa huyu huko nyuma.
Dondoo Muhimu:
- Amesema hatogombea tena kwa mujibu wa katiba.
- Ameupongeza muafaka wake na Maalim Seif na kusifu motokea mema yake ya awali.
- Ametumia lugha ya kistaaranu iliyojaa hekima na busara, huko nyuma zilikuwa ni mafumbo na vijembe.
- Amezungumzia issue zote muhimu kwa mustakabali wa Zanzibar
- Amezungumzia Muungano ni Dhima.
- Ametoa hakikisho la Uchaguri huru na wa haki.
- Wenye sifa wote, wataandikishwa. ZEK itapitisha tena uandikishaji upya.
- Wote wenye sifa za kupata ZID, watapatiwa na wote wenye ZID walionywima kwenda kuzichukua, wakazichukue.
- Kwa ujasiri mkubwa na lugha ya kistaarabu sana, ameyaomba gesi na mafuta yao, yawe yao, kama ilivyo bara na dhahabu yetu.
- Amemsifu sana Rais Kikwete, na kumalizia kwa ile ile kauli Adhimu "Mapinduzi Daima".
Mr.Froasty,
..katika posting yangu ambayo uli-quote nilieleza ktk sentensi ya kwanza kabisa na najinukuuu hapa chini:
..tunachotaka ni usawa ktk muungano huu. kama suala hilo haliwezekani baina ya Tanganyika na Zenj ni bora Muungano uvunjwe.
..kwa mtizamo wangu, Zenj is too small kuwa na muungano unaoeleweka baina yake ya Tanganyika.
..probably Tanganyika and Zenj needed each other in the 60s, but I dont think that is the case today.