Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Mheshimiwa Rais: Hatujakusikia kwa muda sasa kutoa hotuba ya mwisho wa mwezi! na bila shaka wasaidizi wako wanaanda hotuba sasa kwajili ya June 2011 naomba uzingatie yafuatayo
1. Suala zima la posho kwa wabunge na kada zingine serikalini
2. Displine ya matumizi serikalini ( Hivi Mtu Kama Kamanda Kova amepewa Land cruiser V8 VX 280 Million, ya nini? ) na wengine wengi. Hivi Kova asingeweza kutumia RAV4 new model????
3. Maamuzi muhimu na magumu kwa manufaa yetu ( Refer EL in the parlianment)
4.Benefits wanazopewa seniour oficers jeshini, police, etc weekly, daily, and monthly INAUMA MZEE
5.
6.
1. Suala zima la posho kwa wabunge na kada zingine serikalini
2. Displine ya matumizi serikalini ( Hivi Mtu Kama Kamanda Kova amepewa Land cruiser V8 VX 280 Million, ya nini? ) na wengine wengi. Hivi Kova asingeweza kutumia RAV4 new model????
3. Maamuzi muhimu na magumu kwa manufaa yetu ( Refer EL in the parlianment)
4.Benefits wanazopewa seniour oficers jeshini, police, etc weekly, daily, and monthly INAUMA MZEE
5.
6.