Ipo pouwa sana, sasa bunge limekataa kupitisha swala la umeme kama janga la kitaifa, hebu mnaofahamu swala hili tupeni mwongozo! UMEME NI JANGA LA KITAIFA.
Nimeshangaa supika wetu anadai kuwa ile siyo hoja wallah hata mtoto wa vidudu anaweza kuchanganua kuwa mnyika katoa hoja za maana na alichoongea ngeleja ni upupu kweli magamba kuna vioja!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.