Mkuu bomba kubwa la kusafirishia gesi kutoka mikoa ya kusini kuja DAR kuzalisha zaidi ya MW 3000 lilikuwa linahujumiwa na hawa wenye biashara ya mafuta mazito. Maswi na Muhongo wameshaidhinisha kazi hiyo na sasa makampuni matatu ya China yako kazini na kazi itakamilika ndani ya miezi 18 na tatizo la umeme kwisha habari yake. Hongera Maswi na Muhongo, chapeni kazi kwa manufaa ya waTz wote.
hata tenda ya kusambaza mabomba dar walipewa wachina miaka kadhaa iliyopita hembu tujuzeni mabomba yale yanatoa maji,tusubiri huenda yakatimia.