Hotuba ya Mhe. John Pombe Magufuli bungeni leo... Bajeti 2012/13

Nyie watu wa ajabu, stori za magufuli hamjazichoka? Nendeni hapo kenya, 1997 raila alikuja kujifunza kujenga barabara hapa kwetu, 2012 kenya walishasahau kuhusu fly over nk, bado mnamsikiliza huyu kasuku? Mnafikiri mtu kukariri majina ya barabara na madaraja ni tija? Poleni sana!!!!
 
zomba kuna matengenezo ya muda maalum (periodic Maintenance), Matengenezo ya kawaida (routine and recurrent maintenance), Matengenezo ya sehemu korofi (spot improvement) na matengenezo ya dharura (emergency works). Nimekumbuka Civil Engineering hapo nadhani wale wa MEM wanajua hii habari.

Huyo punguani alikuwa hajui yote hayo, anafikiri bajeti ni kwa ajili ya barabara mpya tu.
 
huyu waziri hana jipya ni mropokaji tu hafahi kuwa kiongozi, atuelezee barabara kwenda kwa babu mchawi wa samunge imeishia wapi, same talk different day nothing new.
 
Nyie watu wa ajabu, stori za magufuli hamjazichoka? Nendeni hapo kenya, 1997 raila alikuja kujifunza kujenga barabara hapa kwetu, 2012 kenya walishasahau kuhusu fly over nk, bado mnamsikiliza huyu kasuku? Mnafikiri mtu kukariri majina ya barabara na madaraja ni tija? Poleni sana!!!!

mkuu labda kama huwa hutumii usafiri wa barabara lakini kama unatumia kama sisi kuwa mkweli kwani kwa mtu aliyekuwa anasafiri 1998 kutoka mwanza kuja dar alikuwa anatumia siku mbili mpaka tatu kwa basi na wengine walikuwa wanapita kenya ili kufika dar ila kwa sasa ni ndani ya masaa 12 unakuwa umefika.
mwaka 1996 kwa wanaoijua mwanza ilikuwa vumbi tupu na ukipanda daladala kutoka igoma kwenda airport ilikuwa unatumia siku nzima lakini leo ni muda wa saa moja tu.

kama ulishasafiri kwenda lindi na mtwara mwaka 2004 hali ya barabara ilikuwa mbaya sana kiasi kwamba mvua zikinyesha maeneo ya mbwemkulu lazima ulale leo hii ni muda wa masaa nane tu ndio unatumia.
nimejaribu kukupa hizi takwimu unazosema kwamba kenya walikuja kujivunza kwetu na wao leo wako mbali. si kwamba wako mbali ila ukiangalia kenya huwa wanaconcentrate kwenye upande mmoja wa kusini na maeneo ya nairobi na pwani, nenda kaskazini ya kenya halafu uje uangalie na sisi.
nataka nikwambie tu kuwa Tanroads wamefanya kazi kubwa na wamegusa maeneo yote ya nchi yetu nenda ukaangalie barabara ya rukwa - kigoma - biharamulo ndio utajua utendaji wao.
mimi nadhani kwenye ukweli tuwe tunasema ili tuwape moyo wa utendaji kazi wao. tatizo watu wengi humu huwa wannagalia barabara za dar es salaam tu.
 
Magufuli ni mtendaji mzuri ila kwa jinsi magamba walivyo hakuna lolote hapo na kwa barabara hawezi kumshawishi mwananchi au mlala hoi kukipenda ccm {mkoloni mweusi} siyo rahisi kabisa manake tumeshapoteza imani kabisa na hichi chama cha mafsadi na huyo Magufuli na yeye pia ana kashfa ya UFISADI au mmesahau?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom