Hotuba ya Mhe. John Pombe Magufuli bungeni leo... Bajeti 2012/13

milion alfu..2000 zimetengwa kwa ajili ya kivuko cha dar, bagamoyo
 
Mzee wa Takwimu.. sasa mbona wanataja hadi miradi ambayo imeshakamilika na mingine iliyopo kwenye mchakato?

Mradi wa barabara ukiisha kuna mambo kibao yanabidi yapatiwe bajeti wewe, usiwe punguani. Kuna kuboresha, kuna "maintenance" (neno ambalo Kiswahili chake hakuna), kuna ukarabati, kuna ufagizi. Upo hapo ulipo?
 
mama kilango malecela amepongeza ccm na kamati iliyoandaa bajeti ya wizara ujenzi..
 
mama kilango malecela amepongeza jitihada za kupandisha hadhi barabara 22, jijini darslam..
 
Mradi wa barabara ukiisha kuna mambo kibao yanabidi yapatiwe bajeti wewe, usiwe punguani. Kuna kuboresha, kuna "maintenance" (neno ambalo Kiswahili chake hakuna), kuna ukarabati, kuna ufagizi. Upo hapo ulipo?

Mkuu kulikua na umuhimu wa wewe kutumia hayo maneno hapo kwenye red kunitukana? kama unaelewa zaidi yangu unaweza kunielekeza tu nkwa maneno ya kiungwana
 
Mkuu kulikua na umuhimu wa wewe kutumia hayo maneno hapo kwenye red kunitukana? kama unaelewa zaidi yangu unaweza kunielekeza tu nkwa maneno ya kiungwana

punguani si tusi kwa kiswahili namaanisha una upungufu wa kuelewa.
 
Chato ndio miundo mbinu gani?

jamani.. Chato jimboni kwake chadema na m4c wamebrash pale na amewapa changamoto kwa kusema kuwa wananchi wa chato hawadanganyiki.. Chato anamalizia barabara madaraja na vivuko kuwapelekea asap
 
mara nyingi sipendi unafiki inabidi tuwe wazlendo katika masuala ya kitaifa na kuwapongeza viongozi wanaochapa kazi kwa ajili ya taifa sio kuchapa kazi tu bali kazi ionekane DR.MAGUFULI ni moja ya watu walioccm wanachapa kazi,hata kama anakashifa sio kama wengine ila ninavyoamini maendeleo yanpatikana endapo kuna kuwa na ukinzani wa mawazo so hizo changamoto mnazompa jamaa creative atazifanyia kazi,............mm sio mwanachama wa chama chochote sababu watu wanashindwa kuangalia masilahi ya taifa ila wanaangalia uchama......am a rebel in nature .....ni mtazamo tu usijenge chuki
 
Kwa serikali ya ccm sidhani kama ataweza kuyafanya yote haya. kwa Mfano, mwakajana alitaka kuondoa mabango yote yaliyokwenye hifadhi ya barabara, nadhani wote tunajua kilichompata hadi akataka kususa, nadhani walimtishia kuwa atam-Ulimboka. hadi leo hakuna hata bango lililoondoka.

Ngoja mjipongeze kwa hiyo habari ya kwenye makaratasi, lakini I dont see the budget to be implemented. I hope we all know that with the presence of Mr Dhaifu, this is another silly budget. Time will tell!
 
Mradi wa barabara ukiisha kuna mambo kibao yanabidi yapatiwe bajeti wewe, usiwe punguani. Kuna kuboresha, kuna "maintenance" (neno ambalo Kiswahili chake hakuna), kuna ukarabati, kuna ufagizi. Upo hapo ulipo?
zomba kuna matengenezo ya muda maalum (periodic Maintenance), Matengenezo ya kawaida (routine and recurrent maintenance), Matengenezo ya sehemu korofi (spot improvement) na matengenezo ya dharura (emergency works). Nimekumbuka Civil Engineering hapo nadhani wale wa MEM wanajua hii habari.
 
Last edited by a moderator:
Kwa serikali ya ccm sidhani kama ataweza kuyafanya yote haya. kwa Mfano, mwakajana alitaka kuondoa mabango yote yaliyokwenye hifadhi ya barabara, nadhani wote tunajua kilichompata hadi akataka kususa, nadhani walimtishia kuwa atam-Ulimboka. hadi leo hakuna hata bango lililoondoka.

Ngoja mjipongeze kwa hiyo habari ya kwenye makaratasi, lakini I dont see the budget to be implemented. I hope we all know that with the presence of Mr Dhaifu, this is another silly budget. Time will tell!

Mkuu Ikwanja nadhani huu si wakati muafaka wa dhihaka kama hii.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom