jamani nataka kata ztulizo shinda na miko ziliko
Wapi ritz, rejao and co waliosema kuwa chadema leo wangelalamika wameibiwa kura!
Aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Nendeni mahakamani kupinga matokeo na ushauri wa bure mumfukuze lusinde!
Leo jamvi tamu sana!
Ukimtegemea MUNGU unafanikiwa