Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,843
- 2,664
hapo kwenye kusitisha matumizi ya misahafu ni muhimu zaidi
nikiwa ndani ya daladala asubuhi hii, karibu nusu ya abiria walikuwa wanajadiri kitendo cha serikali kuingilia kati matibabu ya babu loliondo wengine walikuwa wakipinga na wengine wakiunga mkono, wakiwa wanaendelea kubishana, ghafla nikasikia redioni mtu anahutubia taifa sauti kama jk hivi.
Serikali yenu mliyo ichagua itahakikisha haiingilii imani za watu maana serikali yenu haina dini, ila kutokana na ukweli kwamba serikali inawajibika kumlinda mwananchi na mambo yanayoweza kumuathiri kwa namna yeyote ile, serikali yenu inaangalia uwezekano wa
- kusitisha kwa mda matibabu ya babu loliondo mpaka ijiridhishe na ubora wake.
- kusitisha kwa mda ubatizaji makanisani kwa kutumia maji mpaka ijiridhishe kama maji yanayotumika kubatizia ni maji safi na salama kwa matumizi ya binaadam.
- kuzuia kwa mda matumizi ya ubani wakati wa kuendesha sala na ibada mbalimbali mpaka ijirishishe kwamba ule moshi hauathiri afya za binaadamu.
- kusitisha matumizi ya biblia na quran kwa mda tunataka kuunda kamati maalum itakayochunguza kisayansi kama yaliyomo ni ya kweli au la. Hii tunaifanya kwa makusudi ya kumlinda mlaji wa hivi vitabu.
ghafla nikasikia kelele za "coins" nikashtuka usingizini na kumuona konda anataka nimlipe nauli yake kumbe nilikuwa ndotoni!!!!!!!!.
Ahahahahaaaah!!!Afadhali ulishituliwa na konda ole wako ungeendelea kuota halafu ukapata hasira na kuanza kuvunja vunja radio kumbe una mnyuka jirani yako makonde hapo ingekuwa balaaa
Nikiwa ndani ya daladala asubuhi hii, karibu nusu ya abiria walikuwa wanajadiri kitendo cha Serikali kuingilia kati matibabu ya Babu Loliondo wengine walikuwa wakipinga na wengine wakiunga mkono, wakiwa wanaendelea kubishana, ghafla nikasikia redioni mtu anahutubia Taifa sauti kama JK hivi.
"Serikali yenu mliyo ichagua itahakikisha haiingilii imani za watu maana serikali yenu haina dini, ila kutokana na ukweli kwamba serikali inawajibika kumlinda mwananchi na mambo yanayoweza kumuathiri kwa namna yeyote ile, Serikali yenu inaangalia uwezekano wa
- Kusitisha kwa mda matibabu ya Babu Loliondo mpaka ijiridhishe na ubora wake.
- Kusitisha kwa mda ubatizaji makanisani kwa kutumia maji mpaka ijiridhishe kama maji yanayotumika kubatizia ni maji safi na salama kwa matumizi ya binaadam.
- Kuzuia kwa mda matumizi ya ubani wakati wa kuendesha Sala na ibada mbalimbali mpaka ijirishishe kwamba ule moshi hauathiri afya za binaadamu.
- Kusitisha matumizi ya Biblia na Quran kwa mda tunataka kuunda kamati maalum itakayochunguza kisayansi kama yaliyomo ni ya kweli au la. Hii tunaifanya kwa makusudi ya kumlinda mlaji wa hivi vitabu."
Ghafla nikasikia kelele za Coins nikashtuka usingizini na kumuona konda anataka nimlipe nauli yake kumbe nilikuwa NDOTONI!!!!!!!!.
Kwann iwe muhimu?hapo kwenye kusitisha matumizi ya misahafu ni muhimu zaidi
... sikuwa makini sana (yaani sikuwa attentive na ninacho kisoma), nikaendelea kusoma mpaka nikafika hapa...Nikiwa ndani ya daladala asubuhi hii, karibu nusu ya abiria walikuwa wanajadiri kitendo cha Serikali kuingilia kati matibabu ya Babu Loliondo
ghafla nikasikia redioni mtu anahutubia Taifa sauti kama JK hivi.
"Serikali yenu mliyo ichagua itahakikisha haiingilii imani za watu maana serikali yenu haina dini
kufika namba mbili...
- Kusitisha kwa mda matibabu ya Babu Loliondo mpaka ijiridhishe na ubora wake.
2. Kusitisha kwa mda ubatizaji makanisani kwa kutumia maji
Unataka watu wachinjane wewe...hapo kwenye kusitisha matumizi ya misahafu ni muhimu zaidi