Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Katika hotuba ya kambi rasmi ya Upinzani, inayosomwa sasa hivi, wametaka serikali ijibu kwa nini NSSF na mifuko yote haijalipwa hata senti tano kwa kukopwa kwa kujengea UDOM.
Katika hotuba ya kambi rasmi ya Upinzani, inayosomwa sasa hivi, wametaka serikali ijibu kwa nini NSSF na mifuko yote haijalipwa hata senti tano kwa kukopwa kwa kujengea UDOM.
Mbona huyu waziri anasema hapa kwamba serikali ishaanza kuilipa UDOM na wana mawasiliano mazuri tu!