Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
Is he not the same guy who told us in 2006 that matatizo ya mgao wa umeme yatakuwa kwishney?
2006 alidai Watanzania tusisikitike sana kuhusiana na matatizo ya umeme maana yanasababishwa na Muumba! Katika nchi zote za Afrika huyo Muumba kila mwaka aisakame Tanzania tu! ili iwe na matatizo ya umeme na hii sasa ni miaka 18 ya matatizo haya ya umeme ambayo yalianza 1992 wakati Mzee Rukhsa yuko madarakani, nakumbuka ilikuwa ni July au August ya mwaka huo.