Hotuba JK inatetea watu fulani wanaohusishwa na ufisadi inanishanga hata mkuu nataka mjadala wa dowans ufunge huku Idrisa kauli yake ilikuwa ni kuwatisha wananchi kwamba asilaumiwe tukiingia gizani na mkuu natetea hakuna hatua aliyochukuliwa huku wanasiasa waliikeme kauli hiyo
Kutoka kwa Dk Slaa
Tunahitaji watu kama DR Slaa
Wana jamii kama kuna za ndani zaidi tupatieni
Kutoka kwa Dk Slaa
"Tuna mashaka naye Kikwete kwa kauli yake ya kumtetea Dk Idris ambaye pia sisi tuna mashaka naye kuwa alihusika katika sakata la ununuzi wa rada,"
"Kikwete hawezi kueleweka kwa kumtetea mtu aliyedaiwa kuhusika na kampuni ya nchini Uingereza, akidai inatuhumiwa kupokea fedha kupitia akaunti inayodaiwa kuwa ya mwanasheria wa zamani."
Tunahitaji watu kama DR Slaa
Wana jamii kama kuna za ndani zaidi tupatieni