Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
- Thread starter
- #21
Hatimaye hotuba iliyireodiwa jana, ndiyo imerushwa leo!. Rais JK akitaja jana nyingi wakati hizo anazotaja jana in actual fact ni juzi!.
Rais pia kaingizwa mkenge eti walio lipua makanisa ni kikundi cha Uamsho!, Waliolipua wanajulikana, tusubirie kama rais atameza mata...shi yake baada ya ukweli kujulikana.
Rais pia kaingizwa mkenge eti walio lipua makanisa ni kikundi cha Uamsho!, Waliolipua wanajulikana, tusubirie kama rais atameza mata...shi yake baada ya ukweli kujulikana.