KIWAVI
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 1,817
- 699
Namtaza JK akihutubia wana-CCM kwenye maadhimisho; kwakweli hiii pia ni moja ya hotuba chache nzuri za huyu jamaa, sikumbuki katika miezi kadhaa iliyopita kama ameweza kutoa hotuba ya namna hii
lets see how he will finish this hotuba
- anazungumzia mambo muhimu yanayohusu maandalizi ya uchaguzi
- fund raising ndani ya chama
- wanachama wanao-collude chama
- pesa
- nk
lets see how he will finish this hotuba