Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
mimi nadhani JK haishi katika muda tunaoishi maana miezi mingine ina mwisho mingine haina!
Hahahaa! Ngoja tuone. Mwezi ujao unaweza kuwa na 93 days.
Mm sijaona alichoongea wala sijui hii sheria itasaidia nn mtz wa namtumbo ambaye kituo cha afya kipo 15km kutoka alipo.
Hivi kwani isue ni rushwa kwnye uchaguzi au kutumia fedha nyingi? Kama ni matumizi, basi nyani haoni kundule.
Tutaona kama kaptni komba hatapewa brand new scania semi la kufany tours kwenye kampeni.