Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini Dr. Slaa nimemkubali, kagusa kila sehemu japo kwa muda mchache.kimsingi mambo mengi hazungumzi maana pages nyingi anaruka eti spika kamwambia, ila anataka deep green tangdold nae waziri mkuu awe mkali kama deci.
kwani uwongo?
huyu alikuwa mchungaji kisha kavuliwa kwa sababu za uzinifu
si siri hiyo
Unajua unapo amua kuwa kikaragosi wa mapapa, utu wako unauvua na kuuacha pembeni!
How it comes, inaongelewa hotuba wewe unaleta vioja vya personal life? Nani si mzinifu na awe wa kwanza kumrushia jiwe!
Bravo Dr. Slaa mkome nyani na wafundishe kazi hao make wamesahau wajibu wao wamebaki kuwa wachumia matumbo tu!
anasema viongozi wanasimamia kupinda sheria
Mkuu, unamaanisha hotuba ya Mh. Dr. Slaa kama imechukua rejea za JF au...?anazungumzia khs kagoda, anaielezea hapa. nafikiri kila ki2 kipo humu jamvini.
Mkuu, unamaanisha hotuba ya Mh. Dr. Slaa kama imechukua rejea za JF au...?
amemaliza