Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Salaam wakuu,
Nahitaji Software yoyote ya kumanage HotSpot ili kuwezesha customers kutumia given passwords ili kuweza kutumia wireless internet. Yaani mtu akiwa within range ya Network aweze kuconnect bila matatizo, lakini anapotaka kuaccess kurasa yoyote kwenye internet inamdirect kwenye login page ambayo inamuomba user name na password, kama vile antamedia hotspot; nikipata iliyo full na funguo zake, ama isiyo ya kulipia nitashukuru sana.
Natanguliza shukrani zangu za kweli,
Wasalaam,
Mjomba Amoeba.
JamiiForums
Nahitaji Software yoyote ya kumanage HotSpot ili kuwezesha customers kutumia given passwords ili kuweza kutumia wireless internet. Yaani mtu akiwa within range ya Network aweze kuconnect bila matatizo, lakini anapotaka kuaccess kurasa yoyote kwenye internet inamdirect kwenye login page ambayo inamuomba user name na password, kama vile antamedia hotspot; nikipata iliyo full na funguo zake, ama isiyo ya kulipia nitashukuru sana.
Natanguliza shukrani zangu za kweli,
Wasalaam,
Mjomba Amoeba.
JamiiForums