rakeyescarl
JF-Expert Member
- Dec 9, 2007
- 481
- 145
Wakuu salaam,
Nimevamiwa na wajanja kwa hiyo my email account yangu inatuma spam kwenye watu wote niliowahi kuwasiliana nao awali.
Nimebadili password mpaka kuweka majina ya kibantu bado. je nifanyeje?Bado naweza kutuma emails na pia naweza kuingia kwenye email account yangu.
Naomba msaada wakuu,maana jamaa zangu wamefikia mpaka ku block email address yangu,
Natanguliza shukurani.
Rakey
Nimevamiwa na wajanja kwa hiyo my email account yangu inatuma spam kwenye watu wote niliowahi kuwasiliana nao awali.
Nimebadili password mpaka kuweka majina ya kibantu bado. je nifanyeje?Bado naweza kutuma emails na pia naweza kuingia kwenye email account yangu.
Naomba msaada wakuu,maana jamaa zangu wamefikia mpaka ku block email address yangu,
Natanguliza shukurani.
Rakey