habari wana JF
kuna hoteli inauzwa ipo karia koo ina gorafa 8 na jenereta kubwa la kusaport kama umeme ukizimika. Inauzwa dola million 3.5
wasiliana nami kupitia 0714-463299 or 0716-369299
Acha watu wafanye kazi kaka!Mkuu humu JF hakuna mafisadi, bali ni wale tu tuliopigika kwa sera za ccm. Sasa hiyo dola milioni 3.5 tutazitoa wapi? Unaonaje ukajaribu kutoa tangazo lako kwenye kikao cha baraza la mawaziri? Nina hakika hapo wateja ni kedekede.