Sea cliff haiwaki moto acheni uzushi.. Nimepita hapo mda si mrefu moto uko kule mbele ya parkin matairi yamechomwa moto ikaleta kizaa zaa... Sea cliff hotel is fine
Jamani habari hapana kulikuwa na moto karibu na hotel ya SeaCliff na hakuna madhara yoyote yaliyotokea nimeongea nao sasa hivi Jemedari:
watafika hawana maji!
kwa mara nyingine tena!!! Dah! Naona huu umeshakuwa mchezo wa hawa wahindi labda kuna kitita cha bima maana haiwezekani katika miaka michache baadaye moto mwingine utokee katika hotel ile.
Zimamoto hawajafika bado?
inaunguwa au wanaiunguza?
Du! kila mara?