THE BROKER
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 699
- 835
Wakuu nitakua Dodoma mjini kuanzia kesho jumapili. Naomba anayejua hotel/lodge standard kuanzia 20,000 hadi 30,000 anipe msaada. Nawasilisha
kazimoto bahi road ni standard self bei 20-30 ni mahali pazuri sana.Wakuu nitakua Dodoma mjini kuanzia kesho jumapili. Naomba anayejua hotel/lodge standard kuanzia 20,000 hadi 30,000 anipe msaada. Nawasilisha
ndugu morena ni pa 20?Morena
Akajionee tu mwenyewe, si anakuja makao mkuundugu morena ni pa 20?
una UTANI mkuu pale kwa wale nanihii poatanzania guest...
YEYENew Dodoma Hotel patakufaa sana pametulia!!
Aika rodge ni mpya kabisa maeneo ya bwawani au meriwaWakuu nitakua Dodoma mjini kuanzia kesho jumapili. Naomba anayejua hotel/lodge standard kuanzia 20,000 hadi 30,000 anipe msaada. Nawasilisha
una UTANI mkuu pale kwa wale nanihii poa
Asanteni wote, nimefikia Bwawani Lodge na yenyewe sio mbaya.View attachment 381430
Pale kwa mzee Matonya sasawa na bure, vyumba bardii.
Wakuu nitakua Dodoma mjini kuanzia kesho jumapili. Naomba anayejua hotel/lodge standard kuanzia 20,000 hadi 30,000 anipe msaada. Nawasilisha