Kitomai
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 1,060
- 281
[font="][/font]
.
Are you serious? hotel ya 3.12billion Morogoro? aah wapi, you are kidding!$ 1,950, 000 x 1600 = 3,120,000,000.00
ipo morogoro msanvu kitovu cha moro. Ina vyumba vya kulala self-contained 22, bar kubwa na jiko. Inafanya kazi. Ipo busy sana upande wa bar na jiko. Imejengwa katika eneo lenye mvuto wa kibiashara na ina mandhari yenye kuvutia.ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 3600. bei us $ 1,950,000. piga namba hii:0717114409
.
Duh, sidhani kama kuna usahihi hapo.NSSF wamejenga mabibo hostel kwa USD 10,000. Mabibo hostel ina capacity ya 4000 beds. Wewe unauza hotel ya capacity ya 22 kwa USD 1,950,000. Hivi hizo bei huwa mnakokotoa vipi?
ipo morogoro msanvu kitovu cha moro. Ina vyumba vya kulala self-contained 22, bar kubwa na jiko. Inafanya kazi. Ipo busy sana upande wa bar na jiko. Imejengwa katika eneo lenye mvuto wa kibiashara na ina mandhari yenye kuvutia.ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 3600. bei us $ 1,950,000. piga namba hii:0717114409
.
$ 1,950, 000 x 1600 = 3,120,000,000.00
Duh, sidhani kama kuna usahihi hapo.