Erotica
JF-Expert Member
- Apr 24, 2012
- 2,513
- 1,735
Wabongo kwa kupeana moyo! Oh haijalishi mwili wako ukoje mradi una kidude cha kufanyia.
Oh haina shobo mradi mwili wako msafi na maneno mengi ya kupeana moyo na kufarijiana. Inakuaje sasa
kua hata picha ambazo zinakua za kuhamasisha tendo la ngono ni wenye vimwili vidodo dogo? Akiwa pande ujue
basi pande lililoumbika hasa. Inakua ni mnene mapododo na mapaja lakini huku juu kama dada
wa miaka 18 ndio anachipukia. Au kuna wale wanene kawaida hata akiwa nguoless inaleta raha kumwangalia
hata kwa dada wenzie. Tuliobahatika kuwa na miili midogo tunapochojoa nguo na kuleta mbwembwe
mbele ya mpenzi wetu ni sawa na wanamipisho wanavoingia kwa maringo wakati wa mduara ama taarabu
tukijua fika hapo ni mahala petu na tuna uwezo wa kuduarisha hadi kukeshe na kidole juu.
Kauli za jipende jinsi ulivo zinatoka kwa wale ambao tayari tumebahatika kua na miili midogo kama mimi ambayo
ina mvuto kwetu wenyewe na wanaume pia, starehe yangu moja wapo ni kujitazama
kwenye kioo, Ero kioo hakinichoshi! Sio rahisi kihivo wapendwa kwa alie mnene sana kujikubali,
namwambia rafiki yangu hivo kila siku ila naona haisaidii. kumwambia ukweli nashindwa nampa tu moyo,
usihofu wapo wanaume wanapenda bonge bonge, nikiwa namuambia hivo hata mie mwenyewe
najuwa ni faraja tu namkabidhi. Tushauriane na tutafute suluhisho
lingine kwa wenzetu mabonge. Tuwafariji namna gani? tuwasaidie vipi?
msinichukie ndio ukweli wenyewe!
Rafiki yangu bonge analia kila siku sabb mwili wake hauna mvuto. anashindwa afanye kipi ajiamini kwenye
SEX awe na confidence ya kuchojoa na kuweka swagga badala ya kuambiwa tangulia ndani ujiandae,
akifika huko anachojoa na kuingia ndani ya shuka alafu huyo mwanaume wake anamkuta humo. teh teh teh.
Mwaaaaah! :rapture:
Oh haina shobo mradi mwili wako msafi na maneno mengi ya kupeana moyo na kufarijiana. Inakuaje sasa
kua hata picha ambazo zinakua za kuhamasisha tendo la ngono ni wenye vimwili vidodo dogo? Akiwa pande ujue
basi pande lililoumbika hasa. Inakua ni mnene mapododo na mapaja lakini huku juu kama dada
wa miaka 18 ndio anachipukia. Au kuna wale wanene kawaida hata akiwa nguoless inaleta raha kumwangalia
hata kwa dada wenzie. Tuliobahatika kuwa na miili midogo tunapochojoa nguo na kuleta mbwembwe
mbele ya mpenzi wetu ni sawa na wanamipisho wanavoingia kwa maringo wakati wa mduara ama taarabu
tukijua fika hapo ni mahala petu na tuna uwezo wa kuduarisha hadi kukeshe na kidole juu.
Kauli za jipende jinsi ulivo zinatoka kwa wale ambao tayari tumebahatika kua na miili midogo kama mimi ambayo
ina mvuto kwetu wenyewe na wanaume pia, starehe yangu moja wapo ni kujitazama
kwenye kioo, Ero kioo hakinichoshi! Sio rahisi kihivo wapendwa kwa alie mnene sana kujikubali,
namwambia rafiki yangu hivo kila siku ila naona haisaidii. kumwambia ukweli nashindwa nampa tu moyo,
usihofu wapo wanaume wanapenda bonge bonge, nikiwa namuambia hivo hata mie mwenyewe
najuwa ni faraja tu namkabidhi. Tushauriane na tutafute suluhisho
lingine kwa wenzetu mabonge. Tuwafariji namna gani? tuwasaidie vipi?
msinichukie ndio ukweli wenyewe!
Rafiki yangu bonge analia kila siku sabb mwili wake hauna mvuto. anashindwa afanye kipi ajiamini kwenye
SEX awe na confidence ya kuchojoa na kuweka swagga badala ya kuambiwa tangulia ndani ujiandae,
akifika huko anachojoa na kuingia ndani ya shuka alafu huyo mwanaume wake anamkuta humo. teh teh teh.
Mwaaaaah! :rapture: