Wadau habari zenu? Tafadhali naomba msaada wa kutambua hospitali nzuri kwa mama mjamzito, hasa ukizingatia mhusika mwenyewe ni mimba ya kwanza. Asanteni kwa ushirikiano.
Wadau habari zenu? Tafadhali naomba msaada wa kutambua hospitali nzuri kwa mama mjamzito, hasa ukizingatia mhusika mwenyewe ni mimba ya kwanza. Asanteni kwa ushirikiano.
Agakhan hospital, na kama faranga zimekutembelea nenda Trauma center ni dola elfu 3 tu kujifungua!
Wadau habari zenu? Tafadhali naomba msaada wa kutambua hospitali nzuri kwa mama mjamzito, hasa ukizingatia mhusika mwenyewe ni mimba ya kwanza. Asanteni kwa ushirikiano.
Hili nalo ni muhimu, nashukuru kwa kuuliza. Niko Dar es Salaam