Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Umesahau ile ya Usalama wa taifa kule PSU , halfu JK eti akapumzishwa hapo, huyu JK hajitaki?
Hakuwa mhindi nini maana Aghakan wahindi ndio kwanza wanaewa kipau mbelenamfahamu dada mmoja anaishi ughaibuni baba yake alikwenda agha khan mahututi ct scan ikaonyesha amepata CVA au stroke hiyo ilikuwa siku ya ijumaa wakamwambia aende nyumbani arudi juma tatu ,jumamosi asubuhi akafariki.Nimewashauri ndugu zake wafungue kesi ya wrongful death wanasema kesi haitaweza kumrudisha baba yao may be i am naive na mambo ya bongo its been a while but I don't understand it
Ukitaka kufa mapema au kuondokewa na jamaa yako wewe wapeleke jamaa zako hospitali hizi.
Regency is even worse maana madaktari huwa wanakimbia mpaka ndugu wa mgonjwa hali ikiwa mbaya. Hivi Blandina Nyoni na wenzie huko wizara ya Afya kwa nini hawataki kusikiliza kilicho wananchi ambao wanazidi kupoteza maisha ya jamaa zao kwenye death chambers hizi?
Tumwombe Mh. Kikwete aunde bodi ya AFYA kwa kweli, maana hata pale Hospital ya Morogoro mjina nakumbuka wakati tuko Chuo pale Moro, tulishawahi kumpoteza mwnezetu alikuwa anaumwa just tumbo, kufanya operation hakuamka. Ni vyema kukawa na sheria ya kulinda wat ambao hawana hatia....
Samahani sijakuelewa unaposema serikali inategemea mteremko kutoka hospitali za mission una maana gani? Kama unadhani hospitali zinazojiita za mission zinajiendesha fuatilia tena. Ni kutonye hospitali za misheni zinazoitwa cjui teule kama St Francis zinaendeshwa kwa 100% na Serikali..
Wabongo hufa na tai shingoni, kuna dhana kwamba mtu akipelekwa kwenye hosp za kulipia inaonyesha eti yuko juu. Ni sawa tu na ulimbukeni wa dhana ya zuzu fulani kwamba kifo cha kugongwa na gari aina ya mercedizi benz kina hadhi kuliko cha kugongwa na toyota corolla. Tunatakiwa kwa kupitia organisation zinazoshughulika na masuala ya uraia na haki za watu kuibana serikali kutoa maelezo ya kwanini pamoja na kukusanya kodi za watanzania mil 40 inashindwa ku-maintain matibabu ya asilimia moja tu ya hao watu. Na badala yake inategemea mteremko kwenye hosp za mission kana kwamba kuna kodi zinazokusanywa na hazi taasisi za kidini au za kibinafsi.Shame on you ccm government!!
AgaKhan siku hizi panaitwa hotel...Tumaini na Regency ndio hivyo. Wakuu hivi kwa sasa ni hospital gani ambayo ni afadhali kuikimbilia? Maana muhimbili, Mwananyamala na wale ndugu zao wengine wote tunajua hali ilivyo. Na mgombea mmoja amesema atahakikisha anapandisha daraja hospitali kadhaa! Sijui hiyo inatufikisha wapi