Hospitali ya mkoa Dodoma - Waandishi wa habari mtusaidie!

RUV ACTVIST.

JF-Expert Member
Jan 14, 2012
472
110
Nalileta kwenu waandishi wa habari.
Naomba sana mtusaidie kumulika utendaji kazi wa hospitali ya mkoa dodoma.
Hosipitali zote za serikali zipo corrupt lakini hii ya dodoma no.1.
Jaribuni kufanya ziara ya kushtukiza na kuwahoji wagonjwa! Mawodini mtajionea wenyewe.
Yani kama sio makao makuu ya nchi na viongozi wote wanapita dodoma.nenda wodi ya watoto, vidonda vinaoshwa kwa mama zao na sio wauguzi tena kwa maji ya moto na sio dawa. Mgonjwa haandikiwi dawa baada ya kutoka chumba cha upasuaji bila kutoa rushwa. Ukatiri gani huu?

Nitaomba mrejesho baada ya kuifanya kazi hii.
 
Ndugu yangu ile si hospitari ni jehanam!Yupo rafiki yangu alilazimika kutorosha mtoto wake mwenye majeraha ya moto akampemleka private maana walimuacha mtoto siku tatu mwili ukaanza kuoza.Na ukitaka kuifahamu hii hospitali vizuri omba uvunjike mguu then ulazwe wodi 11 pale!Utajuta kuzaliwa Tanzania.Lakini kwa sehemu kubwa tatizo ni serikali maana ukifuatilia kwa makini utagundua Madaktari wetu na wauguzi kuna kitu fulani wanakikosa.
 
nilitaka kumpiga vibao daktari mmoja anaitwa rose miaka ilyopita,kisa kilikuwa hivi:-
nilimpeleka rafiki yangu patrick r.i.p,tukiwa kwenye foleni kama saa mbili usiku nikakkuta kila mtu analalamika kuuliza kulikono wakasema daktari wa zamu ameondoka kama saa moja hivi,nikawauliza manesi wakasema kaenda kutafuta chakula.
kwenye foleni kulikuwa na mtoto wa kiume kama miaka 8 hivi sijui alikuwa na ugonjwa gani lakini babu yake aliyemleta alituambia kibofu cha mkojo kimeziba kama siku 4 hivi,tukamhurumia alivyokuwa analia tukampa nafasia ya kwanza.daktari kurudi akawa na chips mkononi ka lisaa tena baadae nikamwuliza kulikoni unaacha wagonjwa kenye foleni na kwenda mitaani saa 2?
jibu lake lilikuwa la kuchefua alipoingia yule mzee na mtoto akwaambia wakanunue sindano na dawa kwa jeuri.
nilimshukia kama mwewe nnikasepa baada ya hapo nilikuwa naingia mochware tu.
 
Back
Top Bottom