Hospitali ya IMTU, chafu, Huduma mbovu sana

mama yuva

JF-Expert Member
Aug 3, 2010
226
47
Tafadhali kama kuna mtu yeyote anayeijua au anafanya kazi Hospitali ya IMTU, Mbezi. Jamani Hospitali yenu vyoo vichafu, mtoto anatapika mama anaambiwa azoe matapishi mwenyewe, tena kwa ndoo chafu sana ya chooni, amabko ni kuchafu hakutazamiki, halafu mama huyu anapolalamika huduma mbovu, nurse anasema, "au nikupe simu ya bosi wangu umpigie", Ina maana hawa mabosi wa hii hospitali wanakubali hayo ambayo wafanyakazi wao wanayafanya?


Kwa kweli inabidi wajirekebishe vinginevyo watakuwa ni chanzo cha watu kupata magonjwa zaidi na si tiba.
 
Tatizo la kuajiri wana familia. IMTU ndo kitu gani first time I hear about this hospital.
 
mimi mke wangu alikuwa ni mjamzito hv karibuni tukaenda pale kwa huduma ya clinic nakuambia file lilichukua zaidi ya nusu saa kulitafuta mpaka nikachoka nilichokifanya nilifoka sana ndipo wakakimbia kutafuta file ndani ya dakika tano nikawa nimepewa na kuwaacha niliowakuta yakwao ayajapatikana ni wa ovyo sana ingawa wana ma doctor wazuri wahindi hasa doctor wa akina mama mzuri sana nilimpenda kwa uangalizi wake sema kuna vijimambo vidogo vidogo tu ambavyo wanapaswa kuvirekebisha
 
Back
Top Bottom