Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Yule Hosea wa Takukuru sasa hivi yuko live ITV katika kipindi cha Dak 45 akibwabwaja. Sijui wataruhusu maswali?Aulizwe ile ripoti ya Wikileaks kwamba alinukuliwa akilalamika kwamba JK anamzuia kuwashitaki baadhi ya mafisadi.