drax
New Member
- Nov 26, 2007
- 1
- 0
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Dk. Edward Hosea, ametunikiwa shahada ya juu ya udaktari (PhD) katika fani ya sheria.
Asalaam Aleykum waungwana.
Nadhani pamoja na uhuru wa kusema, bado sheria in nafasi yake katika kulidanganya Taifa. Ni dhahiri watu wengi hujenga hoja ikiwa kuna mtu anatajataja tu madarasa pasipo ukweli, hasa ikiwa mtu huyo ana dhamana ya Taifa letu!!
Nimeshawishika kuandika ili kama kuna mtu mwenye uhakika na matamshi yake ya awali, basi abainishe watu tuingie kazini!! kwani hata nukuu ya hapo juu, inakwepa kueleza lolote husika la historia yake kuhusu PhD.
Inshallah tutadanganywa mno!! ikiwa hatuamki ati!!
Asalaam Aleykum waungwana.
Nadhani pamoja na uhuru wa kusema, bado sheria in nafasi yake katika kulidanganya Taifa. Ni dhahiri watu wengi hujenga hoja ikiwa kuna mtu anatajataja tu madarasa pasipo ukweli, hasa ikiwa mtu huyo ana dhamana ya Taifa letu!!
Nimeshawishika kuandika ili kama kuna mtu mwenye uhakika na matamshi yake ya awali, basi abainishe watu tuingie kazini!! kwani hata nukuu ya hapo juu, inakwepa kueleza lolote husika la historia yake kuhusu PhD.
Inshallah tutadanganywa mno!! ikiwa hatuamki ati!!