Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Kila mtu huhukumiwa/kuadhibiwa kwa makosa yake yanapothibitishwa pasipo shaka.
Coni 7bu kwa nn na hii serikali isiadhibiwe 2015!
Coni 7bu kwa nn na hii serikali isiadhibiwe 2015!
Jaji Manento jana kamweleza ukweli mtupu huyu Hoseah, issue sio DPP, tatizo liko kwao TAKUKURU maana hata kwa kesi ambazi DPP katoa vibari bado ushahidi waonesha TAKUKURU kushindwa mahakamani kutokana na kuwasilisha ushahidi dhaifu.