Ndugu Hosea anasema hivi wakati kuna fununu ambazo hazija thibitishwa na upande wowote kwamba kuna mfanyabiashara maarufu wa Tanzania anataka kupeleka pesa nje ya nchi. Hili nalo wadau likoje maana sielewi hapa? Mkutano wa kurudisha pesa unafanyika Tanzania wakati kuna mtu anataka kutoa pesa Tanzania hapo hapo na kupeleka nje. Nbaki na viulizo???????????????????????