Nimekuwa ninjiuliza maswali mengi mojawapo likiwa ni kwanini shahada ya heshima ya udakatari ya rais wetu JM Kikwete inapembejewa sana. Ikizingatiwa kuwa hata viongozi waliopita kama Mwalimu nyerere, Mkapa, Aboud Jumbe nao pia walipewa hizo shahada au na vyuo vyetu au na vyuo vya nje lakini ni mara chache tulisikia prefix. ya Dr. Nyerere, Dr. Mkapa. Dr. Aboud Jumbe. Ikumbukwe pia Nyerere alipewa Uprofessor wa historia na Chuo kikuu cha Dar-es-Salaam. Ukitaka kujua zaidi unganika hapa University of Dar es Salaam - About Us - Honorary Degrees Awarded
Just a food for thought.!!!
Just a food for thought.!!!