wadau kwanza naomba kujitambusha kwenu kwani mimi ni member mpya. Pili nachukua fursa hii kuwapongez wote mliotumia muda na akili zenu kUfuatilia na kuchangia kwa maono ya fikra chanya kuhusu swala zima la uchuguzi wa mwaka huu. Ni ukweli usiopingika kwamba JF imekua chachu kubwan sana ya kupigana na ufisadi na imechangia kwa kiasi kikukwa kutoa elimu ambayo kwa njia moja au nyingine imeisaidia jamii yetu ambayo wengi wetu tunaishi chini ya dola moja. MWISHO NATOA WITO KWAMBA TUENDELEEE NA NGUVU ZETU ZA KUKOSOA KWA NIA YA KUBORESHA KWA KUFUATA TARATIBU ZINAZOKUBALIKA BILA KUVUNJA SHERIA.
AHSANTENI SANA
WENU
CHUA
AHSANTENI SANA
WENU
CHUA